Home
Savings Product
Akaunti ya Elimu (Education Savings Facility)
Overview
Akaunti ya Akiba ya ELIMU inamuwezesha mwanachama kuchangia kwa hiari yake mwenyewe ili kukidhi mahitaji ya kulipa karo za shule/chuo kwa ajili yake, ndugu au wategemezi wake.
Riba Juu ya Akiba
Interest on Savings
Malipo
Ndani ya saa 24
FAIDA ZA AKAUNTI YA AKIBA YA ELIMU
- Akiba itazaa faida ya Riba Juu ya Akiba (Interest on Savings) kila Mwaka
- Akiba ya Elimu inakuwezesha kupata Mkopo wa Elimu ambao ni mara mbili (2) ya Akiba ya Elimu
- Unaweza kupunguza Akiba ya Elimu mara nne(4) kwa mwaka (Kila robo mwaka mara moja) ikiwa fedha inayopunguzwa haiathiri dhamana ya Mkopo wa Elimu.
- Malipo hufanyika ndani ya masaa 24 endapo mwanachama akitaka kupunguza kiasi cha Akiba ya Elimu kwa njia ya Simu au Benki.
- Mwanachama anaweza kuchangia katika Akaunti hii kila anapopata fedha (Kwa njia ya Mshahara au Kuweka fedha katika akaunti za chama au Makubaliano ya Bank Standing Order).
VIGEZO NA MASHARTI
- Kiwango cha chini cha kuweka ni TZS. 50,000
How to Save
Step-by-Step Grow Your Savings
1
Jaza fomu
Bofya hapa, jaza fomu itakayotokea, pakua PDF dokumenti
2
Kisha Itume
kisha itume kwenye barua pepe ya Chama (info@trasaccos.co.tz)
Our Bank Accounts
TRA SACCOS LTD Bank Details
Use the account details below to make deposits or transfers.
NBC
Account Number
012103020266
CRDB
Account Number
01J1328947802
NMB
Account Number
20310008081
AZANIA
Account Number
001000210497
Get In Touch
Do you want to join TRA SACCOS, need to apply for this product, or have an enquiry? Reach out to us and our team will be happy to assist you.