TRA SACCOS
Familia yenye furaha
Karibu TRA Saccos

Familia yenye furaha

Welcome to TRA SACCOS LTD
TRA SACCOS LTD is a registered Savings and Credit Co-operative Society whose main objective is to mobilize savings from members and in return provide credit facilities. TRA SACCOS LTD is an employee-based SACCOS which was established under the current governing Co-operative Societies ACT No 20 of 2003 in 2006 and Licensed as Class B under microfinance act No 10 of 2018 in 2021
Our Products

Built Around Your Life

Mkopo wa Maendeleo ya Jamii

Mkopo wa Maendeleo ya Jamii (SDL) unatolewa kwa lengo la kumsaidi mwanachama katika kukidhi mahijati yake ya kijamii kama vile; Karo za shule/Chuo Ununuzi wa samani (Furniture) Ujenzi na umilikaji wa nyumba Ununuzi wa vyombo vya moto Mtaji kwa ajili ya biashara mbalimbali Mahitaji mengine yanayofanana na hayo yaliyotajwa hapo juu

Learn More
Mkopo wa Dharura

Aina hii ya mkopo inatolewa kwa mwanachama hai wakati wowote itokeapo dharura. Kama jina la mkopo huu linavyojieleza, aina hii ya mkopo itatolewa kwa mwanachama aliyepatwa na dharura (emergency) tu kwa ajili ya kumsaidia kwa wakati husika.

Learn More
Mkopo wa PAPO 2 PAPO

Ni mkopo wa haraka usiotegemea kiwango cha akiba alizonazo mwanachama, ukiwa na kiwango cha juu cha mkopo hadi TZS 2,000,000. Marejesho hufanyika ndani ya miezi 6, huku riba ikiwa 1% kwa mwezi (mstari mnyoofu)

Learn More
Mkopo wa Week-End

Ni mkopo wa kidijitali unaopatikana muda wote (24/7) kwa wanachama kwa riba ya 5%, bila dhamana na kiwango cha juu cha TZS 200,000. Na pesa huingizwa ndani ya sekunde kupitia App ya "TRA SACCOS Kiganjani" au USSD *150*45#.

Learn More
Mkopo wa Elimu

Mkopo wa Elimu ni aina ya mkopo wa muda mfupi unaotolewa kwa wanachama wa TRA SACCOS kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya kulipa karo za shule/chuo kwa ajili yake, ndugu au wategemezi wake.

Learn More
Mkopo Wa Jipange

Ni Mkopo huu unatolewa kwa mwanachama mwenye akaunti za Wastaafu au/na Wekeza. Kiwango cha juu cha mkopo ni milioni hamsini (50,000,000.00) lakini si zaidi ya mara mbili ya jumla ya akiba ya wastaafu na wekeza..

Learn More
Akaunti Ya Wekeza

Akaunti ya Wekeza ni akaunti ya akiba ambayo inamuwezesha mwanachama kuendelea kuchangia kwa kuwekeza katika akaunti hiyo bila kutoa fedha kwa kipindi cha kuanzia Miaka mitatu (3).

Learn More
Akaunti Ya Akiba Ya Maandalizi Ya Kustaafu

Hii ni Akiba mwanachama anaweza kuweka kwa ajili ya maandalizi ya hapo baadae akistaafu

Learn More
Akaunti ya Elimu (Education Savings Facility)

Akaunti ya Akiba ya ELIMU inamuwezesha mwanachama kuchangia kwa hiari yake mwenyewe ili kukidhi mahitaji ya kulipa karo za shule/chuo kwa ajili yake, ndugu au wategemezi wake.

Learn More
Akaunti ya Akiba ya Lazima

Akaunti ya Akiba ya Lazima inampa mwanachama fursa ya kujijengea tabia ya kuweka akiba ambayo anaweza kuitumia kama dhamana ya kupata Mikopo mikubwa.

Learn More
Huduma ya Rambirambi

Rambirambi ni huduma ambayo kila mwanachama huchangia Tzs. 10,000 kila mwezi kwenye mfuko wa rambirambi kwa lengo la kuwahudumia Wanachama pale wanapofariki au kufiwa na wategemezi wao kama ilivyoainishwa katika sera ya Rambirambi ambapo mwanachama hupewa kiasi cha TZS. 1,500,000/= kama pole ya msiba na kumsaidia mwanachama wakati wa msiba huo.

Learn More
Why Join Us

Start Building Your Future Today

Thousands of TRA employees are already building stronger futures, gaining access to supportive financial services, and creating lasting security for their families through TRA SACCOS.

Growing Together

Fast Loan Access

Tailored for You

Safe & Secure Savings

FAQ

Questions? We've got answers.

Get In Touch

Do you want to join TRA SACCOS, need to apply for a loan, or have an enquiry? Reach out to us and our team will be happy to assist you.